FPT kuhudumu kesho

 Na mwandishi wetu.

Ikiwa kesho siku ya Jumapili tar 10/9/2023,

Team ya kusifu na kuabudu ya FPT kutoka usharika wa Ludewa itaongoza sifa katika ibada itakayofanyika pale Ludewa mjini kanisa la Lutheran.

Nyotenakaribishwa.

Comments